Hivi mwanaume kumtungisha mimba mwanamke akazaa ndio kunampa sifa ya 'uMungu wa dunia, mHeshimiwa kwa namna yoyote, na hasiyeKosea kamwe'!? Kweli jigy-jigy tu inakupa hiyo heshima yoote?!
To me it takes more than just to impregnate a woman to be a father! uBaba hauishii kwenye kumjaza mwanamke mimba, bali unaanzia hapo kwenye kumjaza mwanamke mimba, sasa kama hukutimiza majukumu yako yaliyotakiwa kufuatia kumtia mwanamke mimba..mtoto akiwa maarufu na mkwanja usirudi eti kujitia wewe ni baba! Nyambaff...
Mimi nalea mtoto wa dada yangu...binti smart (kichwa) kweli kweli kushinda hata mwanangu wa kumzaa, lakini huyu binti alitelekezwa na baba yake tangu akiwa na miaka mi3, na dada akiwa hana uwezo wowote wa kumlea na kumsomesha huyu mtoto. Sasa mtoto now yuko chuo kikuu doing very great baba yake anakuja eti anataka mwanae....nyambaff! Wakati tunambembeleza kumsupport mwanane anatoa matusi alifikiri mtoto atakuwa looser?!
Kama unataka sifa ya baba kuwa mungu wa dunia na kuheshimiwa play your part kama baba!