Namba A hapana mkuu. Hizo zipo nyingi nshazikataa, na bei ni ndogo ya hapoNi PM nikuuzie Rav4 Old Model namba AZ.
Iko vizuri full AC, rangi black na uje ukague na fundi wako!
Ukitaka kuagiza gari kutoka nje ya nchi kodi zimepanda sana pale bandalini, ninayo hio gari, namba C, ni Blue..nipe 8.5 nikuachieWakuu heshima zenu,
RAV 4 old model,
Sifa
Namba=B/C
Rangi=Blue/Red/Black/Dark blue/ kwa ufupi isiwe nyeupe au silver
Mengine majadiliano, bei isizidi 7m
Nawasilisha
Mkuu asante sana; bajeti yangu hainiruhusu.Kama utaafiki; nipmUkitaka kuagiza gari kutoka nje ya nchi kodi zimepanda sana pale bandalini, ninayo hio gari, namba C, ni Blue..nipe 8.5 nikuachie
Mkuu hiyo rav4 bado unayo?Ukitaka kuagiza gari kutoka nje ya nchi kodi zimepanda sana pale bandalini, ninayo hio gari, namba C, ni Blue..nipe 8.5 nikuachie
Hello, Hiyo ya 8.5 m uko wapi, picha tafadhari!
Ukitaka kuagiza gari kutoka nje ya nchi kodi zimepanda sana pale bandalini, ninayo hio gari, namba C, ni Blue..nipe 8.5 nikuachie
ohooooo ohoooooo ohooooooooMkuu hiyo rav4 bado unayo?
Hahaaaaaaaa kwani kuna shida lkn?ohooooo ohoooooo ohoooooooo
mtu kamtaftia mwenzie deal hapa
Mkuu mnayo Rav 4 J, kama mnayo ni ya mwaka gani na nilingi ngapi?Njoo beforward
Poa mkuu, na kama mmesha isajili ina namba zipi? Yaani A, B, C au D?Njoja nicheki kwenye system
Huyo zake zipo JapanPoa mkuu, na kama mmesha isajili ina namba zipi? Yaani A, B, C au D?
Duuuhhh hizo za hela nyingi sana sasaHuyo zake zipo Japan
Nadhani hakuelewa hitaji lakoDuuuhhh hizo za hela nyingi sana sasa
Kabisaaa mkuu, wengine hatuna huo uwezo wakuagiza za japani maana hela nyingi sana na kwa Rav 4 inaweza zidi 20 m, zina bei sanaNadhani hakuelewa hitaji lako