Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,791
...
Duh! CCM wasipoondoka tena, bora tupambane tu! Hakuna haja ya kuendelea kuishi chini ya utawala dhalimu kama huu!
Hakika! Wananchi wazalendo tumeungana pamoja kuhakikisha haya mataka taka hayatoboi tena, na hakika lengo hilo litafanikiwa tu!Bora arudi mkoloni wasipotoka ccm
ili kupata hasira zaidi na propose siku nzima ya jumamosi usile chochote na uamkie jumapili ukiwa na njaa halafu ndo utie hiyo juice ya ukwaju. yaani ukifika kwenye kupiga kura unachinja mpaka machozi yanakutoka
hahahaha hiyo mbinu tu ya kupata hasiraUmekuwa mganga wa kienyeji siku hizi?
Ratiba yangu ya oktoba 25
1. Naamka mapema sana
2.nakunywa juice ya ukwaju kupata hasira
3.naangalia picha kadhaa za wamama wamelala zahanati wanne wanne
4.naangalia picha ya mwangosi
5.nakunywa tena juice ya ukwaju
6.nachukua kikatio
7.nachukua bic zangu mpya nne (mbili za bluu na mbili nyeusi)
8.nachukua mathematical set (mkebe) mpya
9.nachukua kitabu cha ilani ya ukawa na katiba ya nchi, simu ful charge, vocha za kutosha, power bank (vya kupitishia masaa)
10.nachukua dumu kubwa la maji ya kunywa yaliyochemchwa vizuri na mfuko wa mihogo ya kuchemsha na kipande cha plastic au mkeka
11.narudia tena hatua ya 3 hadi 5
12.naelekea machinjioni
Ratiba yangu ya oktoba 25
1. Naamka mapema sana
2.nakunywa juice ya ukwaju kupata hasira
3.naangalia picha kadhaa za wamama wamelala zahanati wanne wanne
4.naangalia picha ya mwangosi
5.nakunywa tena juice ya ukwaju
6.nachukua kikatio
7.nachukua bic zangu mpya nne (mbili za bluu na mbili nyeusi)
8.nachukua mathematical set (mkebe) mpya
9.nachukua kitabu cha ilani ya ukawa na katiba ya nchi, simu ful charge, vocha za kutosha, power bank (vya kupitishia masaa)
10.nachukua dumu kubwa la maji ya kunywa yaliyochemchwa vizuri na mfuko wa mihogo ya kuchemsha na kipande cha plastic au mkeka
11.narudia tena hatua ya 3 hadi 5
12.naelekea machinjioni