Ratiba yangu oktiba 25

Ratiba yangu oktiba 25

SAMORE

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
409
Reaction score
577
Ratiba yangu ya oktoba 25:
1. Naamka mapema sana
2.nakunywa juice ya ukwaju kupata hasira
3.naangalia picha kadhaa za wamama wamelala zahanati wanne wanne
4.naangalia picha ya mwangosi
5.nakunywa tena juice ya ukwaju
6.nachukua kikatio
7.nachukua bic zangu mpya nne (mbili za bluu na mbili nyeusi)
8.nachukua mathematical set (mkebe) mpya
9.narudia tena hatua ya 3 hadi 5
10.naelekea machinjioni
 
Khaa!! Miye ndiyo itakuwa siku yangu ya mwisho ya kujaribu mobile clinic yangu ya kutibu maradhi ya moyo na mishtuko ya akili. Kwani baada ya siku mbili hivi wengi hawataamini kilichotokea na hivyo nategemea kupata mafuriko ya wateja. Ni fursa tu niliyoiona..
 
mimi nitaamka alfajiri nakwenda kupiga kura then narudi nachukua konyagi yangu naanza kusherekea ushindi!
 
11.Usiende mbali na eneo ilipo kura yako mpaka uhakikishe matokeo,pakiwa papweke utaliwa.Si unakumbuka hata uchaguzi wao Wa ndani kulikuwa na ma box ya kura mbadala.
 
Hiyo Ya Mwisho Nimeipenda "jamaa Ataenda Machinjion" it's mean~ kwenye kituo cha kupiga kura.. umetisha mkuu.
 
umetisha bro? unatakiwa uwaangalie watoto wa mitaani,wazee wanaoomba barabarani afu uwend machinjioni
 
Back
Top Bottom