Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
Naona CUF wamesanda mbele ya mashabiki ulimwenguni na kuamua fainali kati Esperence na Wydad Casablanca iludiwe uko Misri mwezi July baada ya michuano ya kombe la mataifa Afrika kuisha.
Mechi hyo itachezeshwa na refa Kutoka bara la ulaya baada ya yule aliyechezesha fainali ya kwanza kubolonga.
Mechi hyo itachezeshwa na refa Kutoka bara la ulaya baada ya yule aliyechezesha fainali ya kwanza kubolonga.