Rasmi: Nahamisha makazi Dom naelekea Arusha

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
21,501
51,145
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani nchi yangu iongozwe na upinzani kisiasa lakini hilo lilishindikana kutokana na ujinga ambao CCM imewajengea wananchi wengi na hasa wa vijijini hali iliyoifikia kuibuka washindi tena katika uchaguzi huu, huku ikiendelea kufanya maigizo(mabadiliko ambayo katu sitakuja kuyaamini chini ya CCM).

Hata hivyo bado nina nafasi pana ya kuridhisha moyo wangu japo kwa kuongozwa na halmshauri iliyo chini ya CHADEMA, halmshauri ya jiji la Arusha ambayo kwa taarifa za uhakika maendeleo yameanza kuonekana Baada ya Jana kutangaza kukusanya kodi mpaka imevuka lengo, kwa kweli Arusha ndio mkoa wa kuishi kwa sasa watu wanaojielewa naamini hata biashara zangu zitafanikiwa.

Mungu nijalie nitoke huu mkoa wa Dodoma niingie Arusha salama
Nitaanza safari Mwezi wa 3.

Wenyeji nikaribisheni.

Watu wa Arusha mjiandae kunipokea tufanye biashara pamoja. Nawakubali sana.
 
Karibu Arusha jah mitazamo huku tumeanzisha jamhuri yetu baada ya kutengwa na serekali ya Dr Magufuli ambaye kajaza wasukuma katika kila wizara watu wa kaskazini tumekuwa kama raia wa Kenya ukiwa mkurugenzi wa shirika la umma kama umetokea kaskazini ni shida lazima uundiwe zengwe wakumwage mchana kweupe kwa kisingizio cha kutumbua majipu ukiwa msukuma hata kama kashfa ya Eskrow ulihusika lazima utapewa ulaji haraka kama Prof Muhongo na Maswi walivyopewa shavu huku wakiandamwa na kashfa kibao.
 
Ukija kichwa kichwa imekula kwako maana tuliopo ni mabilionea tu. Ningepata nafasi ya kuhamia dom ningeshukuru maana pametulia na fursa za maendeleo zipo kibao. Karibu Arachuga
 
Karibu Arusha, pia fanya utafiti wa biashara yako kabla hujahamia
 
Karibu Arusha jah mitazamo huku tumeanzisha jamhuri yetu baada ya kutengwa na serekali ya Dr Magufuli ambaye kajaza wasukuma katika kila wizara watu wa kaskazini tumekuwa kama raia wa Kenya ukiwa mkurugenzi wa shirika la umma kama umetokea kaskazini ni shida lazima uundiwe zengwe wakumwage mchana kweupe kwa kisingizio cha kutumbua majipu ukiwa msukuma hata kama kashfa ya Eskrow ulihusika lazima utapewa ulaji haraka kama Prof Muhongo na Maswi walivyopewa shavu huku wakiandamwa na kashfa kibao.
Mkuu mikoa mingine sijui vipi yaani Dom pamoja na kuwapigia ccm kura lakini wanatusahau watu wake mkoa gani huu mafisadi ndo wenye majumba makali wananchi wengi maskin mpaka huruma
Na hapo nazungumzia mjini je ukienda dodoma vijijini mpwapwa na kondoa, yarabi unaeza ukalia ukishuhudia huduma zilivo
 
Ukija kichwa kichwa imekula kwako maana tuliopo ni mabilionea tu. Ningepata nafasi ya kuhamia dom ningeshukuru maana pametulia na fursa za maendeleo zipo kibao. Karibu Arachuga
Fursa zipo kuna biashara ya viwavi jeshi nenda sasa hivi. Mimi nilitoka huko 1972 na sijuti wa sikanyagi huko Dom.
 
Karibu Arusha jah mitazamo huku tumeanzisha jamhuri yetu baada ya kutengwa na serekali ya Dr Magufuli ambaye kajaza wasukuma katika kila wizara watu wa kaskazini tumekuwa kama raia wa Kenya ukiwa mkurugenzi wa shirika la umma kama umetokea kaskazini ni shida lazima uundiwe zengwe wakumwage mchana kweupe kwa kisingizio cha kutumbua majipu ukiwa msukuma hata kama kashfa ya Eskrow ulihusika lazima utapewa ulaji haraka kama Prof Muhongo na Maswi walivyopewa shavu huku wakiandamwa na kashfa kibao.
Kuna kaukweli hapa!
 
Karibu Arusha, pia fanya utafiti wa biashara yako kabla hujahamia
Mkuu nimefanya utafiti wa kutosha na hata hivyo sio kwamba sijawah kufika hapana kuna ka biashara cha baiskeli za mtumba na villa used vya umeme nilianzisha mtu anakasimamia hapo kwa muromboo lakini kwa sasa nataka nihamishe jumla nikaishi kabisa hukohuko
 
Mkuu, Ukirudi Dom kumalizia malizia kuhama nipitishie cha Arusha hapa Chalinze.
 
Mkuu nimefanya utafiti wa kutosha na hata hivyo sio kwamba sijawah kufika hapana kuna ka biashara cha baiskeli za mtumba na villa used vya umeme nilianzisha mtu anakasimamia hapo kwa muromboo lakini kwa sasa nataka nihamishe jumla nikaishi kabisa hukohuko
Karibu sana mkuu nasi pia wahamiaji
 
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani nchi yangu iongozwe na upinzani kisiasa lakini hilo lilishindikana kutokana na ujinga ambao CCM imewajengea wananchi wengi na hasa wa vijijini hali iliyoifikia kuibuka washindi tena katika uchaguzi huu, huku ikiendelea kufanya maigizo(mabadiliko ambayo katu sitakuja kuyaamini chini ya CCM).

Hata hivyo bado nina nafasi pana ya kuridhisha moyo wangu japo kwa kuongozwa na halmshauri iliyo chini ya CHADEMA, halmshauri ya jiji la Arusha ambayo kwa taarifa za uhakika maendeleo yameanza kuonekana Baada ya Jana kutangaza kukusanya kodi mpaka imevuka lengo, kwa kweli Arusha ndio mkoa wa kuishi kwa sasa watu wanaojielewa naamini hata biashara zangu zitafanikiwa.

Mungu nijalie nitoke huu mkoa wa Dodoma niingie Arusha salama
Nitaanza safari Mwezi wa 3.

Wenyeji nikaribisheni.

Watu wa Arusha mjiandae kunipokea tufanye biashara pamoja. Nawakubali sana.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani nchi yangu iongozwe na upinzani kisiasa lakini hilo lilishindikana kutokana na ujinga ambao CCM imewajengea wananchi wengi na hasa wa vijijini hali iliyoifikia kuibuka washindi tena katika uchaguzi huu, huku ikiendelea kufanya maigizo(mabadiliko ambayo katu sitakuja kuyaamini chini ya CCM).

Hata hivyo bado nina nafasi pana ya kuridhisha moyo wangu japo kwa kuongozwa na halmshauri iliyo chini ya CHADEMA, halmshauri ya jiji la Arusha ambayo kwa taarifa za uhakika maendeleo yameanza kuonekana Baada ya Jana kutangaza kukusanya kodi mpaka imevuka lengo, kwa kweli Arusha ndio mkoa wa kuishi kwa sasa watu wanaojielewa naamini hata biashara zangu zitafanikiwa.

Mungu nijalie nitoke huu mkoa wa Dodoma niingie Arusha salama
Nitaanza safari Mwezi wa 3.

Wenyeji nikaribisheni.

Watu wa Arusha mjiandae kunipokea tufanye biashara pamoja. Nawakubali sana.
afadhari uende kwenye mji wa walevi ila nakushauri uwambie waliobaki hapo dodoma waondoke
 
Acheni fikra hasi na zakij..... Hizo.
Tatizo mnajiona kama watu special sana wakati hii nchi ni ya wote.

Miaka hamsini baada ya uhuru hao hao wasukuma unaowasema pamoja na wingi wao hakuna aliyeshika kuwa rais ama PM. Lakini nyie mnaojiita wakaskazini mlipewa wangapi.

Orodhesha makamishina na wakurugenzi wa nchi hii then compare wakaskazini ni wangapi vs nationalwide sehemu zingine unakuta bosi na msaidizi wake wote hukohuko mfano TANESCO lakini nani kalalamika.

Mstake kuamsha mambo ambayo watanzania hawana mpango nayo ila mmezidi.
 
Last edited:
Huna kazi ya kufanya wewe, endelea kuzurura na nguo mbili kwenye rambo ukijifariji unahamishia makazi.

Hapa kazi tu. Ccm mbele kwa mbele.
 
Mkuu, Ukirudi Dom kumalizia malizia kuhama nipitishie cha Arusha hapa Chalinze.
Imekula kwako. Siku hizi safari za Dom-Arusha si zakupitia chalinze tena bali ni ama kupitia SINGIDA au KONDOA. So ukitaka zawadi njo msubiri jamaa BABATI.
 
Back
Top Bottom