comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,753
- 2,535
Nilikua nimshabiki mkubwa sana wa Manchelona.. yaani Man U na Barca.
Ila kwa sasa Man U naitoa, ni underdog tuu, imezidiwa hadi na Spurs, haiwezekani eti Crystal Palace na Man U ni big match..
Man U ni timu mbovu sana ndani ya England..
Nabaki na Barca rasmi
Ila kwa sasa Man U naitoa, ni underdog tuu, imezidiwa hadi na Spurs, haiwezekani eti Crystal Palace na Man U ni big match..
Man U ni timu mbovu sana ndani ya England..
Nabaki na Barca rasmi