waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 348
- Thread starter
- #41
Wanacho kufanya Bayern ni kutwaa umiliki wa Mpira muda wote,farsafa ya ushindi katika football lazma uhakikishe unamiliki mpira muda mwingi hii itawaathiri wapinzani wako na kuwafunga kirahisi ndicho wanachofanya BayernKiwango bora lakini si wapishane na wajumbe (Bavarian). Hao jamaa kila idara wapo vyema mchakamchaka wa dakika zote 90 wanaweza, pasi mpenyezo ndiyo kabisa., Uchap wa ku recovery tena rahisi Sana kwao kusahihisha makosa yao papo kwa papo. Speed zikienda pamoja na mbinu ndy usiseme...
Kumiliki mpira 75%
Speed75%
Attack 80%
Defence 75%
Remark 90%
Sawa hapo haupati pa kupenya labda uroge😂😂