waterproof
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 387
- 348
Wakulungwa tumeshuhudia leo Manchester city akifungashiwa virago na watoto wa ufaransa Olympic Lyon na hivyo kufanya nusu fainali kuzidi kunoga maana wengi tulitegemea Man City leo hii atatinga hatua ya nusu fainali lakini haikua bahati.
Jana tumeshuhudia upana na umahiri wa kikosi cha Munich kikimuangamiza Barca bao 8 kwa 2 na kutinga hata ya nusu fainali.
Ngoma inakua nagwa kwa Lyon kwamba wataweza kuwazuia watoto wa Bavarian? Jibu Mimi sina hapo.
Au ndio tusubiri kuna MTU anapgwa dazani maana tunaweza sema itakua rahisi kwa Munich kutoboa kwenda final alafu mambo yakageuka maana mpira haunaga adabu.
Jana tumeshuhudia upana na umahiri wa kikosi cha Munich kikimuangamiza Barca bao 8 kwa 2 na kutinga hata ya nusu fainali.
Ngoma inakua nagwa kwa Lyon kwamba wataweza kuwazuia watoto wa Bavarian? Jibu Mimi sina hapo.
Au ndio tusubiri kuna MTU anapgwa dazani maana tunaweza sema itakua rahisi kwa Munich kutoboa kwenda final alafu mambo yakageuka maana mpira haunaga adabu.