Rasimu ya Katiba ya CHADEMA haina uhalali

Wewe mke wa Nape umetokea wapi tena?Tatizo la kusoma shule za kata ambazo mafilauni CCM Wametuletea,zimekufanya hadi wewe uwe mjinga na kilaza,unawaza kwa kutumia makamasi badala ya ubongo akili umefungia kabatini,hujui hata unachopost! Ur Idiote together with ur political part CCM,Chama cha majambazi.
Hawa ndio viongozi wa Chadema wanataka tuwape nchi
:hat:
 
teh teh teh

thread ya kipuuzi ya kufungia mwaka,

ujinga uliotukuka leo tarehe 31/12/2011
 
nani aliwatuma kwenda ikulu? Walipata saini ngapi za wanachama wa chadema kwenda kumuona rais? Msijifanye kuwatetea na wao walikurupuka2 bila maoni ya wengi,, Ni bora kukaa na mwehu uliyemzoea kuliko mwehu usiyemjua maana atakutupia mawe. Chadema bado Hamjakomaa bado mnaimba nyimbo za kukopi au mnacheza playback, Shikeni mipini, ngoma, zomali na vinanda tuwaone.
 
Wanabodi.

Hapo ndio yanapoibuka maswali na majibu kuiumbua Chadema, Je walimpelekea JK rasimu yao ya katiba ili aifanyie nini? Je, walitaka JK aiidhinishe na kuithibitisha rasimu kwamba ndiyo katiba halali ya watanzania?

Hiyo rasimu ya katiba ni mali ya nani? Ni ya watanzania ama ni ya Chadema?

Hivi ni lini ambapo Chadema wamezunguka nchi nzima kupata maoni ya watanzania wengine nje ya chama chao.

Hiyo rasimu imepata wapi uhalali au "Justification" kiasi cha kuwapa jeuri ya kugomesha wananchi na kuwataka wasusie kutoa maoni yao kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.


Mkuu, waliopeleka rasimu ni CUF. Waliipeleka pale kwa Chikawe
 
Wanabodi.

Nimesema mara nyingi kwamba Chadema inaongozwa na watu wasioamini kabisa katika demokrasia.

Wanatumia neno demokrasia kujihalalisha tu na pia kutafuta uhalali wa kukubaliwa na watanzania.

Chadema ikaomba kuonana na Rais kuhusiana na mchakato wa katiba, Rais Kikwete hakufanya hiana akawakubalia ili asikie kile wanachotaka.

Sisi wananchi bado tunabaki hewani hatujui inapinga nini na inataka nini.

Walipoonana na Rais, wakamkabidhi rasimu yao ya katiba wanayodhani ndio bora na inayowafaa watanzania.

Baadae tukaanza kuwasoma Chadema wakidai eti JK amewauza kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.

Hapo ndio yanapoibuka maswali na majibu kuiumbua Chadema, Je walimpelekea JK rasimu yao ya katiba ili aifanyie nini? Je, walitaka JK aiidhinishe na kuithibitisha rasimu kwamba ndiyo katiba halali ya watanzania?

Hiyo rasimu ya katiba ni mali ya nani? Ni ya watanzania ama ni ya Chadema?

Hivi ni lini ambapo Chadema wamezunguka nchi nzima kupata maoni ya watanzania wengine nje ya chama chao.

Hiyo rasimu imepata wapi uhalali au "Justification" kiasi cha kuwapa jeuri ya kugomesha wananchi na kuwataka wasusie kutoa maoni yao kuhusiana na mchakato wa kupata katiba mpya.
Kwanza nakupa pole kwa watu ambao badala ya kukuelimisha wao wamebaki kukushutumu. Ingawa wakati mwingine wanasema usibishane na mjinga kwani na wewe utaonekana mjinga.

CHADEMA hatukupeleka kwa Kikwete Rasimu ya Katiba wala hatukwenda Ikulu kuongelea katiba Mpya badala yake CHADEMA tulichopeleka kwa Kikwete ni ushauri wetu ambao tunaamini ni kwa manufaa ya watanzania kuhusu Mswada ambao Kikwete ameusaini na kuwa sheria. Sheria inayoanzisha mchakato wa uundwaji wa katiba mpya.

Sisi CHADEMA tunaamini sheria hiyo iliyosainiwa na Kikwete iwe kwa kiburi,woga,shinikizo au ushabiki wa kisiasa ni sheria ambayo mwisho wa siku hakutakuwa na mchakaot bora wa kutunga katiba na hatimaye katiba yenyewe itakuwa haina hadhi inayokusudiwa na watanzania.

CHADEMA tunapinga uwiano na aina ya uteuzi wa wajumbe watakaounda Bunge la Katiba na uundwaji wa Bunge lenyewe. Tunaikataa sheria hiyo ambayo inakataza mambo ya muungano kujadiliwa na kuweka kama muungano ni kitu kitakatifu kutoka kwa mungu. Kwenye sheria hiyo imewekwa adhabu kwa mtu atakayepatikana anajadili au kuwahamasisha watu kuhusu Katiba mpya nje ya utaratibu utakao wekwa, Adhabu ni pamoja na kifungo cha miaka zaidi ya 5 jela. Uchafu ni mwingi kwenye sheria ile

CHADEMA haijawahi kupeleka Rasimu ya Katiba Ikulu. USIJIPOTOSHE.
 
Kazi kweli kweli!! Siyo muhimu sana kuleta thread jamvini kama mtu hauna uhakika na kile ambacho unakiandika. Unaweza hata kuuliza ili uwe na uhakika kabla ya kuandika. Be a really Great Thinker. Its embarrassing to hear that someone does not know what CDM leaders went for at statehouse.
Siasa za chuki bila sababu zinalitafuta taifa letu, mtu anaamka tu na kusema kitu ambacho hata mwenye hakiamini kwa sababu tu anakisema chama asichokipenda. Tanzania is for all, not for CCM....
CDM hawakupeleka rasimu ya katiba, but mapendekezo ya namna ya kuurekebisha mswada wa sheria ya kuunda mchakataro wa kupata katiba mpya, if at all the new constitution will be obtained, I dont believe in Kikwete's government on this issue...!!
 
Back
Top Bottom