Rasimu ya katiba na bunge maalum la katiba

mchogora

Member
Jan 15, 2014
29
3
Wanajamvi nawasalimu,hivi kama wajumbe wa bunge maalumu la katiba wanamamlaka ya kubali hata rasimu yote na kuandika wanachoona wao kinafaa tafsiri yake ni kwamba tume ya jaji warioba haikuwa na umuhimu na hata haikustahili kuwepo kabisa na wajumbe wa bunge la katiba ndo hao tangu wameanza kikao dodoma wanasiku tano lakini watanzania wote tunashuhudi mgongano mkubwa wa kimaslahi wanakataat tzs300,000 kwa siku hela ambazo 90% ya wafanyakazi wa nchi hii wanapokea kwa mwenzi na kodi wanakatwa,70elfu na hapohapo wachangie mifuko ya kijamii,sasa hii nchi wakuiokoa ni nani? jamani mjumbe anasema kwamba hata aspokuwepo alipwe tu,na wote tunafahamu kwamba kamati imeundwa ili wachunguze sakata, hivyo serikali itawapa kwa kwa kutaka watekeleze matakwa yao,kwanini isiletwe rasmv kwa wananchi tukapiga kula ya kuikubali au kuikataa zeni wanaotaka hilo bunge likavunjwa??????
 
kwa kweli hilo la kutaka wajumbe walipwe maslai makubwa mimi binafsi cjaliafiki kabisaaaaa.....! kwani wamelazimishwa kuingia? ambae anaona hawezi c atoke? mi naishangaa xana selikari 2lionayo....hv mbona haisikii kilio cha wa2 wengine? eti mwana jamii
mwenzangu ebu nawe jiulize.
 
Hii ni danganya toto tu,kwa watz wasiofuatilia siasa.2ukumbuke kauli za shein alizowahi kuzitoa kuhusu serikali 2,3.hivi ni kipengele gani ktk ilani ya ccm 2010inayotaja uandikwaji wa katiba mpya.mnamacho ila amuone mnaibiwa mchana kweupe pee.serikali ni 2,katiba ipo kwa jk,wajumbe malizieni tarehe ratiba iendelee.
 
Hawana huwezo wa kubadilisha yale yaliyomo kwenye Rasimu ya Katiba, bali kuyaboresha. Rasimu ya Katiba inawazuia wasibadilishe, maana wakibadilisha watakuwa wameyatupilia mbali maoni ya wananchi.
 
Back
Top Bottom