Ndugu zangu wapendwa wa Shirikisho yaani wenzetu wa Zanzibar, kwaniaba ya waTZB wote, naomba sn amani na upendano tuweke mbele kwa maslahi ya TZ shirikisho, kwani kama tutaweka ushabiki na utengano wakusema nyie wa bara sisi wa Zenji tutauana, bila sababu, ninauhakika kwa TZB hatuna hili lkn makubwa yatakuwepo kama tusipomuweka Mungu mbele na upendano wetu na mshikamano wetu tusipouweka mbele,.
Viva Whole TZ, Viva TZB Viva Zanzubar yenye madalaka yake chini ya muungano, naamini kila mshiriki atajifunza kwa mwenzake.
Mungu zibariki serikali zetu tatu zijazo.
Amen.