RAS Rukwa nae amdanganya mkuu wa Mkoa kuwa hakuna wafanyakazi hewa

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,251
Nilishangazwa Na taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Bw.Zerotte Stephen kuwa RAS wa mkoa huo kamsomea taarifa ya mkoa kuwa mkoa wa Rukwa hauna wafanyakazi hewa.Mkuu wa mkoa akaikataa taarifa hiyo Na kuagiza zoezi hilo lianze upya Na hatimae wakabainika wafanyakazi hewa.Inashangaza kuona viongozi kama RAS anatoa taarifa za uongo kwenye zito kama hili.Ni imani yangu viongozi wa aina ya huyu RAS wa Rukwa Na yule wa Shinyanga hawafai hivyo Mh.Magufuli uamuzi in wako.
 
Nilishangazwa Na taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Bw.Zerotte Stephen kuwa RAS wa mkoa huo kamsomea taarifa ya mkoa kuwa mkoa wa Rukwa hauna wafanyakazi hewa.Mkuu wa mkoa akaikataa taarifa hiyo Na kuagiza zoezi hilo lianze upya Na hatimae wakabainika wafanyakazi hewa.Inashangaza kuona viongozi kama RAS anatoa taarifa za uongo kwenye zito kama hili.Ni imani yangu viongozi wa aina ya huyu RAS wa Rukwa Na yule wa Shinyanga hawafai hivyo Mh.Magufuli uamuzi in wako.

Akili ya kipolisi ya Zelothe Stephen ilimshtua kwamba hapa kuna kamchezo akaikataa ripoti, angalia sasa the man is safe na Kilango kwa akili zake za kisanii yuko chali!
 
Waliozoea kufanyakazi' na Mzee wa kuchomoa na kuchomeka' sasa wataisoma namba, wanafikiri mkwere bado yuko madarakani...
 
Nilishangazwa Na taarifa ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Bw.Zerotte Stephen kuwa RAS wa mkoa huo kamsomea taarifa ya mkoa kuwa mkoa wa Rukwa hauna wafanyakazi hewa.Mkuu wa mkoa akaikataa taarifa hiyo Na kuagiza zoezi hilo lianze upya Na hatimae wakabainika wafanyakazi hewa.Inashangaza kuona viongozi kama RAS anatoa taarifa za uongo kwenye zito kama hili.Ni imani yangu viongozi wa aina ya huyu RAS wa Rukwa Na yule wa Shinyanga hawafai hivyo Mh.Magufuli uamuzi in wako.
It means RAS na kundi lake ndo walikuwa wanapokea hiyo mishahara moja kwa moja(direct or through proxy), such officers should be sacked immediately and if the RC has not recommended for the dismal of the RAS who lied, he should also face the music (wrath of the President).
 
WAtumishi hewa tuwaangalie tafadhali ni jipu....inaelekea kuna jamaa wamekula pesa zao sana sasa wanawaficha kwavile kila ukiwataja itabidi pesa uliyoila ukairudishe. Jipu hili linawahusu DT (district treasurer) na kamishina wa hazina
 
Akili ya kipolisi ya Zelothe Stephen ilimshtua kwamba hapa kuna kamchezo akaikataa ripoti, angalia sasa the man is safe na Kilango kwa akili zake za kisanii yuko chali!

Huyu RC Zelothe S. Zelothe nilimuona siku ile anakula kiapo, mwili na maneno yake yanaungana na hiki alichokifanya
 
Back
Top Bottom