RANKED: The Best Smartphones In The World

RANKED: The Best Smartphones In The World

natumiaga nguvu nyingi sana kumuelewa sony. esp likija swala la designing.


Napenda sana design za Sony hasa xperia z series hasa Z1 Z2 Z3. Ila quality ya picha za camera zake haziendani na specs zake
 
operamini ni operamini, engine yake haipo kwenye simu ipo kwenye server za opera simu zote zenye opera zinakuwa na nguvu sawa tu. ila still opera ya wp ni beta ina bugs kadhaa ikiwemo ku crash. sasa hivi muonekano wake ni wa kawaida kama opera ya java au android ila utachange soon kwenye simu zote hizo

kaka kama hupendi tiles usinunue windows phone, why ununue kitu ambacho hukipendi? tiles ndio inayoifanya windows phone kuwa tofauti na ios na android then ukizitoa kuna maana gani? though unaweza kuzi customize zikawa tofauti kabisa.
microsoft_tile_art_app_officialblog.jpg

ukumbuke tile za wp sio app launcher tu kama icon za ios na android bali ni live tiles, zinakupa information bila kufungua app husika kama matokeo ya mpira, habari, storage ya simu, idadi ya mb zilizobaki kwenye kifurush nk

Mkwawa...nitarudi baadae... Nataka unishawishi niingie ktk ulimwengu wa WP
 
Techno, huwawei mbona hazimo
Na ndio tunazotumia zaidi??

Tecno? Hahaha iyo africa tu. Soko hawana mbele.... Kuhusu Huawei..... Hawapendwi.... Sijui nisemeje... Lakini Huawei wana jina. Tulitakiwa tuione Huawei Ascend Mate7.but anyways..... Ya ngoswe aachiwe ngoswe.
 
Back
Top Bottom