Ukiwe unasafiri ukishika passport ya bongo na rangi yake ni kijani utakaguliwa sana kwa kuzani ww ni mnigeria coz zinafanana sana rangi na za nigeria na wananigeria ni kimeo dunia zima, mm siku moja nilikuwa naingia kwny kukanguliwa sasa tuliongozana na wananigeria wawili mbele yangu dah! Nilikoma coz anayeangalia passport unamuacha nyuma so mbele unakanguliwa! Jamaa wakajua na mm mi nigeria nilisearch mpaka nikapata shida mpaka nikaona kama ndege itaniacha yan acha
Passport yetu ni kimeo coz ya rangi yake