Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Ni mlipa kodi mzuri ukiona hivyoinaonekana jamaa tungi sana. si alikamatwaga na kibonde wakiDUI asubuhisubuhi?
Ni mlipa kodi mzuri ukiona hivyoinaonekana jamaa tungi sana. si alikamatwaga na kibonde wakiDUI asubuhisubuhi?
hahhaaaaaaa..............
Ile si ni discoveryHabari toka jikoni zinathibitisha kuwa ile range rover aliyopewa kama package ya kujiunga clouds media, amepata nayo ajali akiwa kalewa chakali. Kwa bahati nzuri gari ilikuwa na bima kubwa sema Gadner alikuwa ameshaikopea sehemu. So kampuni ya bima inahangaika kumlipa mkopeshaji pesa na riba yake ndo kiasi kilichobaki wamalizane na Gadner. Huu ni ubuyu mpya kwa ajili ya wanaume wa Dar. Kama hutaki umbeya hamia jukwaa la great thinkers.
Land rover discovery range ni habari habari nyingine bhanaHivi ni Range au Discover 4 ???
We ni team kojoza au team ndi.ndi.ndi??Habari toka jikoni zinathibitisha kuwa ile land rover discovery aliyopewa kama package ya kujiunga clouds media, amepata nayo ajali akiwa kalewa chakali. Kwa bahati nzuri gari ilikuwa na bima kubwa sema Gadner alikuwa ameshaikopea sehemu. So kampuni ya bima inahangaika kumlipa mkopeshaji (kwa lugha ya kifedha anaitwa TITTLE HOLDER) pesa na riba yake ndo kiasi kilichobaki wamalizane na Gadner. Kadi ya gari bado anayo mkopeshaji. Huu ni ubuyu mpya kwa ajili ya wanaume wa Dar. Kama hutaki umbeya hamia jukwaa la great thinkers.
Kwa wanaotaka kuamini juu ya hili wafatilie wataona gadner now anatumia toyota Opa badala ya discovery 3
Hahahahahaha akyamungu ina matairi ya pikipiki
YalaaaAahAtashaa
Ha ha ha ha ha ha ha hiyo picha sasa jamani
Umenichekesha sana mshana jrHahhahahaaaa na kama unataka umbea mtafute the banker
Sorry nimetaja model tofautiLand rover discovery range ni habari habari nyingine bhana