Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,446
- 10,844
Mkuu Mbona Kama unaogopa? Unahusika nini?Jamani kwa jambo hili tuwe makini kidogo. Hawa watu wengine wanakuwaga wameuza wenyewe kihalali kabisa huko kwao, kwa vile utaratibu wao wa insurance na kununua ni wa kulipa huku unatumia, hivyo anauza halafu gari ikiondoka ikifika nje ya nchi anatangaza imeibiwa hivyokuwaachia deni bima za kwao huku ashachukua hela. Mifano ipo na mengi ya case hizi ni toka Afrika Kusini. Kwahiyo, Hata huyu aeleze mazingira vizuri zaidi kabla watu wasiokuwa na hatia hawajadakwa bila sababu.