byakunu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 613
- 1,377
Ukisoma vizuri hiyo taarifa inaonesha jamaa aliiebiwa hiyo Range Uk aliweka tracker wahuni wali dissable tracker ikaja kutuma notification tayari imeshaingia bongo na imeonekana kwa Cashmoney car dealer inauzwa. Hii mipira mikali mikali ya mwaka wa mbele kutoka UK na Sauzi imekua mingi sana bongo, za kuwa nazo makini sana hizi. Muendelezo wa ishu sijui labda mchekini mmiliki wa gari huko fb anatoa update.