Range Rover na Mercedece benzi zinauzwa bei nzuri

Range Rover na Mercedece benzi zinauzwa bei nzuri

Delegate

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
331
Reaction score
203
Gari hizi zipo Botswana,kama upo serious tunakuletea hapo Tanzania ndani ya siku mbili,condition ni nzuri hazijawahi kupata ajali,zinatumiwa na matajiri wanao heshimu magari

603536_10151070193744383_967862090_n (1).jpg 430216_10151070149684383_502135902_n (2).jpg
 
duuh sasa hiyo P ndio pesa ngapi kwa hizi za kibongo alafu kodi analipia nani? au ndio nikitoa hz P ulizoweka hapo juu gari inakuwa nyumbani kwangu ikiwa na T 2015 CDM
 
Mbona gari zmechoka hivyo!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Matajiri wa Huko ndiyo wanatumiaga migari kama hiyo? Hiyo Benz Bongo 4M, hilo RR likizidi sana bei 7M....Hebu badili hizo digits zako tuone kwenye TZS! Zile fursa za biashara ulikuwa unazitangaza ndiyo hizo? Njoo vizuri bana!
 
Back
Top Bottom