Kwa speicifaction na ufanisi bora Land cruiser LC300 ni bora kuliko aina yeyote ya range rover.Range Rover,Mercedes Benz hao jamaa tuwaangalie tu sidhani kama sisi walima mchicha tunaweza kuwakosoa sidhani sidhani kabisaa..
Yaani Velar ya 2024 unafata na SUV gani mkuu mimi nipo hapa..
Yaani wewe Qengeh hadi mods imebidi wakuache tu 😀😀😀Hahahahahaaaaa pacha bana anaposti uzi bila kutushirikisha?
Kwa speicifaction na ufanisi bora Land cruiser LC300 ni bora kuliko aina yeyote ya range rover.
😀😀😀😀Kwa speicifaction na ufanisi bora Land cruiser LC300 ni bora kuliko aina yeyote ya range rover.
Nzito kukimbia vp mkuu? Range gani hizo nzito kukimbia!!!?Range Rover zinamuonekano mbaya sana halafu ni nzito sana kukimbia.zijui Huwa wanazipendea Nini watu
Nilikuwa sijui kama bangi za Scandinavia ni kali kama za Arusha.
Pacha bangi zimemshika sana.Hahahahahaaaaa pacha bana anaposti uzi bila kutushirikisha?
Hahaha 😂.Kaka kasema ukweli
😂😂😂😂😂Nilikuwa sijui kama bangi za Scandinavia ni kali kama za Arusha.
Sio kwa roho mbaya au umasikini, RR kali kimuonekano ila ni ovyo kwenye reliabilityRange Rover,Mercedes Benz hao jamaa tuwaangalie tu sidhani kama sisi walima mchicha tunaweza kuwakosoa sidhani sidhani kabisaa..
Yaani Velar ya 2024 unafata na SUV gani mkuu mimi nipo hapa..
Inategemea na mtumiaji.. kusema aina yeyote ya RR si kweli, Range Rover hizi latest zina luxury features ambazo LC haina, mfano mdogo tu RR hizi latest ni all wheel steering , ukipiga kona na tairi za nyuma zinapiga kona...Kwa speicifaction na ufanisi bora Land cruiser LC300 ni bora kuliko aina yeyote ya range rover.
I have a new hobby sicheki na wapuuzi nishaMuIgnore kwanza loose Nut nawavutia pumzi wapuuzi wengine wa Ghayos GangNasubiri kuona Mcmillan de Maghayo Driz de Mafwele adriz Invisible Mafia na GHAYO wakija kuisapoti mada hii Kwa nguvu zote.
Hilo genge linamijitu yenye akili kubwa sana mkuu.I have a new hobby sicheki na wapuuzi nishaMuIgnore kwanza loose Nut nawavutia pumzi wapuuzi wengine wa Ghayos Gang
Invisible Mafia na yeye ni mtu wao ?Hilo genge linamijitu yenye akili kubwa sana mkuu.
Sijui kama mlishamtema ama la. Tangu aachane na Ghayo TheMongo Barbarian amekuwa mkimya kidogo.Invisible Mafia na yeye ni mtu wao ?
Kuna jamaa anazo Arusha kila siku ndio wanatoka nazo na familia Benson nadhani na wanakua na matoleo mapya kabisa haya huwa nawakuta na hayo madudu mpaka Serengeti park ila kila siku yupo nalo road sema haya magari wengi wananunua huko yakiwa yashatumika sana yanahitaji service kubwa na ni gharama ndio maana yanawashinda hapa jirani fundi garage mmoja ndio analitumia kutafutia magari Limpopo,Durban sijui Cape Town huko mwaka wa tatu huu anaenda nalo hayo magari yana kodi zaidi 100m nilimletea mteja la mwaka 2018 ilikua 2020 alilipia kodi 83m Tunduma hapo ukichukua la miaka ya karibuni uta enjoy RR..Sio kwa roho mbaya au umasikini, RR kali kimuonekano ila ni ovyo kwenye reliability
Kiufupi mkuu LC ni gari ngumu na yenye torquet kubwa kuliko RR.Inategemea na mtumiaji.. kusema aina yeyote ya RR si kweli, Range Rover hizi latest zina luxury features ambazo LC haina, mfano mdogo tu RR hizi latest ni all wheel steering , ukipiga kona na tairi za nyuma zinapiga kona...
wenyewe wanasema RR zina cutting edge luxury features..
Mfano SV autobiography ,Ukija kwenye mwendo, muonekano, nguvu, interior na luxury LC haifiki, LC itaizidi RR kwenye durability..
Kinachopelekea RR kutokuwa reliable ni jinsi ilivyo complex kwenye electronics na mechanical tokana na luxury features ilizonazo... mfano hio feature ya all wheel steering tayari inaongeza complexity , hivyo RR latest ikipiga kona ina turning circle ndogo, unaweza piga kona katikati ya barabara ya njia moja na kugeuka chap...
Land Rover wame focus zaidi kwenye innovation, luxury features kuliko durability...
Wateja wa RR wanaangalia status, luxury, capability n.k kuliko durability, wateja wa LC watafocus zaidi na reliability...
mkuu LC300 ina nguvu kuliko RR in all aspects.Inategemea na mtumiaji.. kusema aina yeyote ya RR si kweli, Range Rover hizi latest zina luxury features ambazo LC haina, mfano mdogo tu RR hizi latest ni all wheel steering , ukipiga kona na tairi za nyuma zinapiga kona...
wenyewe wanasema RR zina cutting edge luxury features..
Mfano SV autobiography ,Ukija kwenye mwendo, muonekano, nguvu, interior na luxury LC haifiki, LC itaizidi RR kwenye durability..
Kinachopelekea RR kutokuwa reliable ni jinsi ilivyo complex kwenye electronics na mechanical tokana na luxury features ilizonazo... mfano hio feature ya all wheel steering tayari inaongeza complexity , hivyo RR latest ikipiga kona ina turning circle ndogo, unaweza piga kona katikati ya barabara ya njia moja na kugeuka chap...
Land Rover wame focus zaidi kwenye innovation, luxury features kuliko durability...
Wateja wa RR wanaangalia status, luxury, capability n.k kuliko durability, wateja wa LC watafocus zaidi na reliability...
Ndio maana sijakataa kuhusu reliability...Kiufupi mkuu LC ni gari ngumu na yenye torquet kubwa kuliko RR.
Pia nadhani unajua engine za toyota zinaongoza kuwa na maisha marefu.
Pia engine ya LC300 ina nguvu sana hususan kwenye OFF ROAD.
Bro mie nasepa na LC300 kiuhakika.