Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
nalishangaa jitu zima kama Ranfred Masako la ITV kuendelea kutumia kuandaa kipindi kwa ajili ya kuwatukana watu kwa kuwaita wanatumiwa, siyo wazalendo, wajinga na kashfa nyingine nyingi kwa kuwa hawataki kuhesabiwa katika Sensa itakayofanyika kesho nchi nzima.
Naweza kuonekana kuwa ni Muislamu mwenye itikadi kali lakini upeo mdogo wa Masako na wale aliowaalika katika kipindi chake cha Kipima Joto cha jana ndiyo kilichonifanya kusema haya:
sikubalini na sensa kwa kuwa zilizotangulia hazikuwa na manufaa yoyote kwa taifa hili.
Mfano wakati soko la Kariakoo lilipokuwa likijengwa iliachwa nafasi kuanzia soko dogo hadi barabara ya Lumumba kama reserve ya soko lakini walafi wakauza viwanja na kujenga majumba, hapa hapakuhitajika sensa.
Bado, serikali imewahamisha wafanyabishara kuwapeleka soka la Ilala leo, hii soko limefurika mitaa imejaa uchafu, sensa za miaka 1967, 1977, 1988, 199... 2002 hazikuona kama soko la Ilala lilihitaji kupanuliwa?
Pia, ningeweza kuisapoti sensa kama serikali ingekuwa inawajali wananchi wake kwa kufika nje Miji na kupanga plani za viwanja kupeleka umeme na maji kwa ajili ya wananchi wake. lakini yote ni kazi bure, sioni kwanini nihesabiwe kwanza vyeti vya kuzaliwa na vifo vinatolewa kwanini wasihesabu hukohuko? Mi naona ni njia zao za kuendeleza kula tu.
Namuuliza Masako, kama kweli sensa ina maana kule kwao Mahenge kuna hospitali ngapi, kwanini dawa hakuna hospitali? kwanini wagonjwa wanalala chini muhimbili? acha ujinga.. usiwe kama babu jinga mali zako zinaliwa huku unaangalia, kaa hapo ITV ulipwe posho zako na Mengi ukalale.
Naweza kuonekana kuwa ni Muislamu mwenye itikadi kali lakini upeo mdogo wa Masako na wale aliowaalika katika kipindi chake cha Kipima Joto cha jana ndiyo kilichonifanya kusema haya:
sikubalini na sensa kwa kuwa zilizotangulia hazikuwa na manufaa yoyote kwa taifa hili.
Mfano wakati soko la Kariakoo lilipokuwa likijengwa iliachwa nafasi kuanzia soko dogo hadi barabara ya Lumumba kama reserve ya soko lakini walafi wakauza viwanja na kujenga majumba, hapa hapakuhitajika sensa.
Bado, serikali imewahamisha wafanyabishara kuwapeleka soka la Ilala leo, hii soko limefurika mitaa imejaa uchafu, sensa za miaka 1967, 1977, 1988, 199... 2002 hazikuona kama soko la Ilala lilihitaji kupanuliwa?
Pia, ningeweza kuisapoti sensa kama serikali ingekuwa inawajali wananchi wake kwa kufika nje Miji na kupanga plani za viwanja kupeleka umeme na maji kwa ajili ya wananchi wake. lakini yote ni kazi bure, sioni kwanini nihesabiwe kwanza vyeti vya kuzaliwa na vifo vinatolewa kwanini wasihesabu hukohuko? Mi naona ni njia zao za kuendeleza kula tu.
Namuuliza Masako, kama kweli sensa ina maana kule kwao Mahenge kuna hospitali ngapi, kwanini dawa hakuna hospitali? kwanini wagonjwa wanalala chini muhimbili? acha ujinga.. usiwe kama babu jinga mali zako zinaliwa huku unaangalia, kaa hapo ITV ulipwe posho zako na Mengi ukalale.