"Rambirambi" au "Rambaramba"

"Rambirambi" au "Rambaramba"

pilipili hoho

Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
86
Reaction score
23
Mnaacha kujadili mambo ya msingi mnajadili Rambirambi

Kwani kuna shida gani serikali isijenge nyumba za waathirika huko Bukoba ambao watoto wao wamefaulu kwenda chuo kikuu..

Halafu hela hizo zikatumika kuwapa mikopo watoto wa huko Bukoba..

Kupanga ni kuchagua
Serikali inajua inafanya nini..
Na wala haina shida na Rambirambi..
Serikali hii ni tajiri..
Na kwa taarifa yenu tunaongeza ndege..

Kalaga baho
 
Mnaacha kujadili mambo ya msingi mnajadili Rambirambi

Kwani kuna shida gani serikali isijenge nyumba za waathirika huko Bukoba ambao watoto wao wamefaulu kwenda chuo kikuu..

Halafu hela hizo zikatumika kuwapa mikopo watoto wa huko Bukoba..

Kupanga ni kuchagua
Serikali inajua inafanya nini..
Na wala haina shida na Rambirambi..
Serikali hii ni tajiri..
Na kwa taarifa yenu tunaongeza ndege..

Kalaga baho
sijawahi kuona mtu mwenye akiri finyu kama wewe. hivi unafahamu maana ya rambirambi? condolences , usikute nawe ndo tabia zako . Zile zilikua rambi rambi sio tu kwa wafiwa, msaada kwa majeruhi nk. unaingizaje rambi rambi za wafiwa kwenye budget zako shame on this gvt,, na vibaraka wa chama . hapa cha mhimu ni kukanusha na kugawa rambirambi kwa wafiwa
 
Hela ilikuwa ya wahanga lkn imepigwa round about
kwa muktadha huo nani rambaramba..?
hakukuwa na haja kwa serikali kuchukua hizo rambirambi kwa kuwa umesema serikali ni tajiri na kama ni tajiri kwanini ilipitisha bakuli la rambirambi..?
 
Back
Top Bottom