Kwa wanao hitaji ramani za nyumba tuwasiliane 0715321662, mimi ni mchoraji wa hizo ramani.. From Ardhi University
NB: kama hauna nia tafadhali usiwe msumbufu
Kwa wanao hitaji ramani za nyumba tuwasiliane 0715321662, mimi ni mchoraji wa hizo ramani.. From Ardhi University
NB: kama hauna nia tafadhali usiwe msumbufu
yaani nyie mnataka aweke bei hadharani eeh?? ;-) pigeni tu simu msikie bei halafu njooni nayo hapa!
sawa wakuu.. kwa kufuata ushauri.. Ni kwamba mimi nafanya residential houses sio chini ya laki 3 na inapanda kulingana na requirements za mtu na nyumba za ghorofa sio chini ya laki 5.. zaidi ya hapo labda kama kutakua na maswala ya kusimamia ujenzi hadi stage flan au hadi nyumba yote itakapo simama hizo pia ni gharama zingine. Nimeweka baadhi ya picha za baadhi ya residential houses sijaweka floor plans kwa sababu za kikazi, i hope mtaelewa..
View attachment 49925 View attachment 49926 View attachment 49928 View attachment 49929 View attachment 49930 View attachment 49931 View attachment 49932 View attachment 49933 View attachment 49934 View attachment 49935 View attachment 49936 View attachment 49937
Mkuu, hebu tutafutane fasta fasta.
In 2 weeks nitakuwa Bongo tunaweza kuonana tufanye kazi.