Ramani ya Nyumba

Yaani sisi tugharamie michoro kwa wacoraji halafu wewe unataka dezo!!!! Inakushinda kutoa laki 5 uchorewe? Vijana wa ardhi university hata laki 3 wanapokea na wanakufanyia kazi nzuri!!! Acha kupenda dezo wewe!!
 
Yaani sisi tugharamie michoro kwa wacoraji halafu wewe unataka dezo!!!! Inakushinda kutoa laki 5 uchorewe? Vijana wa ardhi university hata laki 3 wanapokea na wanakufanyia kazi nzuri!!! Acha kupenda dezo wewe!!

Acha maroho mabaya we ushatumia vingap
 
Yaani sisi tugharamie michoro kwa wacoraji halafu wewe unataka dezo!!!! Inakushinda kutoa laki 5 uchorewe? Vijana wa ardhi university hata laki 3 wanapokea na wanakufanyia kazi nzuri!!! Acha kupenda dezo wewe!!

Hao vijana wamesoma kwa kod ze2 cc walalahoi
 
Nenda posta mpya kuna mmachinga anauza ramani za majengo,ni ajabu sana kama ndo umegundua leo watu wengi waishi nyumba za kupanga.

Nimegundua weng mnaoish nyumba za kupanga ndo mnao nibania coz mnaona ntajikwamua
 
ficha upumbavu wako mkuu,unataka kujenga halafu unaogopa gharama za ramani?kama vp poa mpe fundi apime hatua achimbe msingi then ajenge...

kama huna msaada kwake si upite ya nini kutukana .....masihara yako ya kunyimwa ...... Unawaletea watu hadharani jifunze adabu !
 
Mkuu, Mimi ni Mhandisi wa mambo ya ujenzi. Ramani ya nyumba huwa inapatikana kwa gharama na sio kutupia tu, halafu watu wachukue. Tafuta Architect akuchoree ramani unayotaka na uende na hela. Hapa utajaza post kwenye thread na hakuna utakachopata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…