Ofisa mjumbe
Member
- Nov 22, 2011
- 24
- 5
nahitaji ramani ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala,master moja,dinning,sebure ya kuweza kukaa seti mbili za coach na vikoro koro kadha wa kadhaa,jiko,stool, choo cha public..SIMPLE BUT COMPLEX......
nahitaji ramani ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala,master moja,dinning,sebure ya kuweza kukaa seti mbili za coach na vikoro koro kadha wa kadhaa,jiko,stool, choo cha public..SIMPLE BUT COMPLEX......
pm maana yake nini?
nahitaji ramani ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala,master moja,dinning,sebure ya kuweza kukaa seti mbili za coach na vikoro koro kadha wa kadhaa,jiko,stool, choo cha public..SIMPLE BUT COMPLEX......
pm maana yake nini?
........
Ni pm. Nta-design vizuri and you will get cost estmates and full specifications for the whole task.....just pm
Habari zenu naomba kujua umbali wa kilomita kutoka Gezaulole mpaka Mwanzo Mgumu(wengine wanapaita kwa sophia simba)ni umbali wa dakika ngapi?asanteni
Naomba nisaidia mi nimejaribu nimeshindwa Jerhy
Kaka weka namba yako ya simu hadharani ili na wengine wakutafute ,haya mambo ya PM naona kama yana longolongo vile ni kama mambo ya kujificha ficha na hayasaidiii kwani ujifiche wakati unatangaza ujuzi wako,ok hata hivyo gharama zako zinaanzia TZS kiasi gani,ili kama tunaweza tujipime na tupunguze usumbufu wa PM /kucall