Hiviii naomba kuuliza......
Waliozoea kuandika maneno ambavyo sio maadili humu mwezi huu pia wataacha kuandika hadi wamalizie zile 6?
Kama ndivyo, inamaana JF itapoa kama wanavosemaga biashara baadhi baadhi zinadoda kipindi hiki cha mwezi wa Ramadan?
Au watafunga kwa ID zao halisi na kuendelea kwa ID mchepuko?