kaimba Rama DEE.. huo sasa ndio wimbo lkn hizo nyingine hapana.. sijui kwa nini huwa hatupendi kusema ukweli na kuwaambia ukweli hawa wasanii.. badala ya kumwambia ukweli aimbe kuizidi utaambiwa ili a hit zaidi utakuta watu wanasifia tuu. huo wimbo wa kawaida sana kina Nurueli washaimba hizo miaka mingi iliyopita. Rama dee arudi kule kwa utaambiwa!! aimbe vile au zaidi ya vile uwezo anao aambiwe tu ukweli badala ya kuleta ushabiki maandazi hapa.