Rais na mwenyekiti wa ccm taifa ndg Jakaya Kikwete huu ni wakati wako wa kuchukua hatua dhidi ya wabunge wa chama chako kwa kukataa kukutana na wewe.
Sababu wanayotoa eti umekataa kuwaunga mkono ktk posho wanayolilia ya 200000/= na UMEWADHARAU KWA KUPELEKA MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA KUANZISHA KATIBA MPYA.
Tunaamini uliyafanya haya kwa maslahi ya Taifa lako.
Lakini wabunge wako vilaza hawataki kukubaliana wewe na wamepanga kukukwamisha katika mipango yako.
Sasa sisi wananchi tunakuunga mkono chukua hatua wananchi na wapinzani wako nyuma yako.
Nawasilisha. wa
Sababu wanayotoa eti umekataa kuwaunga mkono ktk posho wanayolilia ya 200000/= na UMEWADHARAU KWA KUPELEKA MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA KUANZISHA KATIBA MPYA.
Tunaamini uliyafanya haya kwa maslahi ya Taifa lako.
Lakini wabunge wako vilaza hawataki kukubaliana wewe na wamepanga kukukwamisha katika mipango yako.
Sasa sisi wananchi tunakuunga mkono chukua hatua wananchi na wapinzani wako nyuma yako.
Nawasilisha. wa