Raisi Kenyatta na Raisi Magufuli ndani ya vazi la COMBAT.

JAMII-ASM

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
1,305
524
Hii si mara ya kwanza kwa Raisi hapa afrika mashariki kupiga combat wakati wa kukagua zoezi la kivita. Uhuru Kenyatta huwa anapiga combat,na wa Kenya hupenda akivaa vazi hili kwani humpendeza sana.
uhuru191014.jpg

uhuru+2.jpg

Wr9CpI

Kama Commander in Chief Rais Magufuli kavaaa combat wakati akienda kushiriki Zoezi la Medani ya kivita.
Magufuli-Gwanda-5-1024x576.jpg

Kama CIC hili ni vazi lake..
 
Back
Top Bottom