Yaani hilo tambi nimeamini kwa nini alikuwa anangangania madaraka jamani loh fashist huyu
Alikuwa anajifanya jeuri kumbe ni ndunya tu, aliambiwa aachie madaraka kwa heshma yeye akajifanya king'ang'anizi ona sasa mtu mzima anavyoadhirika na bila shaka alichezea kichapo! na isije ikawa walimfanyia na mambo ya 'al kadhalika'
Picha hii ni ya kutengeneza Mkuu.Imekuwepo hata kabla ya Bwana huyu kukamatwa.Japokuwa anaweza kuwa ni miongoni mwa marais wenye vitambi.
Alikuwa anajifanya jeuri kumbe ni ndunya tu, aliambiwa aachie madaraka kwa heshma yeye akajifanya king'ang'anizi ona sasa mtu mzima anavyoadhirika na bila shaka alichezea kichapo! na isije ikawa walimfanyia na mambo ya 'al kadhalika'
yap abidjan kuna baadhi ya askari wamekamatwa baada ya kuafnya huu mchezo mchafu wa kimombasa