Rais wangu JK, full vipaji

Tumsamehe hajui atendalo.........
 
Sioni tatizo lolote kwa Rais kujibur4udisha kwa shughului kama hizi. Actually viongozi wetu wanapaswa kujizoeza kwa shughuli kama hizi ili kupunguza msongo wa mawazo na shughuli nzito za kila siku. Hili ni muhimu kwa afya zao kimwili na kiakili.Tumpongeze na kumshawishi kwa hili.
 

anapumzika kwa lipi alilofanya sasa, au kwa uchovu wa safari za mwaka mzima

 
Huyu jamaa wa pembeni nilidhani Ocampo kumbe rais wa zamani wa Brazil
 
Kitu cha dhahabu mkono wa kulia mmeona? Ulizia ni madafu mangapi hapo. . . . .
 
Kitu cha dhahabu mkono wa kulia mmeona? Ulizia ni madafu mangapi hapo. . . . .

Umeona kila kito chake inawezekana ikawa jiwe la bahati- according to late Sheikh Yahya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…