Hii ni kudhalilisha kiti cha rais wa JMT,tupiganie katiba ili either tuunde majimbo yaendeshwe na magavana,zenj likiwa jimbo mojawapo,au tuwe na serikali moja cio huu upuuzi or tuachane nao ful stop NIA YA NYERERE ILIKUWA KUELEKEA SERIKALI MOJA
Kweli Rais hawezi kuzalilishwa ndani ya nchi yake mwenyewe na hatuwezi kuwa na nchi ndani ya nchi.Ni bora Zanzibar iwe jimbo na tuwe na serikali moja kama alivyosema mtemiwao.Katiba mpya ni lazima na lazima iangalie huu muungano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.