Rais wa Zanzibar alidai hati zipo Ikulu

Rais wa Zanzibar alidai hati zipo Ikulu

TIGOPESA

Senior Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
190
Reaction score
64
Mwanasheria mkuu wa Zanzibar anasema hati ziko UN
Katibu wa bunge maalumu anasema hati ipo mahkama kuu Dar

Ina maan kila mmoja anasema bila ya kuwa na uhakika. Kila kinachokuja mdomoni tu ni kusema tu bila kuangalia athari zake kwa umma. Hawana kisisi wala gatigati kwa yanayowatoka midomoni bila ushahidi kama ni kweli au uongo kwa sababu wanaona hakuna wa kuwawajibisha. Serikali na Muungano ni wa CCM kwa hivyo wao kukosa maadili si kitu kikubwa ni mambo ya kawaida tu.

Na hapa ndiyo naunganisha na yale yanayotokea katika majukwaa ya kisiasa Zanzibar ya akina Shaka, Sadifa, Borafya, Shamte na wengine wengi kutukana mbele ya halaiki ya watu matusi ya nguoni. Mtu mwenye maadili hawezi kutukana mbele za hata mtoto mdogo. Hii inaoneshea ni moja ya falsafa ya CCM. Kukosa maadili kwao siyo tatizo hata kidogo. Inaoneshea kukosa maadili ni "credit" kwa CCM na hasa unafaa kwa uongozi wa juu.

Hapa vile vile ndiyo ukaona hata hao wafanyakazi wa mahkama kuu au AG hawakuona jambo kubwa kughushi sahihi za hati ya muungano. Jamani hii ni "crisis" kubwa ya taifa, jamii na mfumo wote wa mahkama na sheria za Tanzania. Kama leo nyaraka muhimu kama hizi na kutoka ofisi ya AG zimeghushiwa sahihi je mambo yanayowahusu wananchi wa kawaida.

Na bahati mbaya Sammuel Sitta anaona ni very simple jambo hili halichukulii katika uzito wowote kuwa un "tarnish negatively" mfumo mzima wa serikali. Lakini hapa linaturejesha tena palepale CCM hawana maadili na wametujengea mfumo ambao watu hawajali maadili.

Naam ni kama Waswahili wanavyosema "Ukiona kilemba kimeroa basi ubinda (underwear) hautazamiki" Sasa ikiwa watu wa juu wa CCM wako hivi je hao wa chini watakuwaje? Na CCM wasikwambie watajirekebisha, hawawezi kujirekebisha mpaka kwanza wawe nje ya uongozi hawa.
 
HII NDIO HATI YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA SERIKALI YAMAPINDUZI YAZANZIBAR YA1964

Nimeidaka leo toka INTERNET - BAHAKA -

THE ARTICLES OF UNION betweenTHE REPUBLIC OF TANGANYIKA AND THE PEOPLES' REPUBLIC OF ZANZIBAR WHEREAS the Governments of the Republic of Tanganyika and of the Peoples' Republic of Zanzibar being mindful of the long association of the peoples of these lands and of their ties of kinship and amity, and being desirous of furthering that association and strengthening of these ties and of furthering the unity of African peoples have met and considered the union of the Republic of Tanganyika with the Peoples Republic of Zanzibar:

AND WHEREAS the Governments of the Republic of Tanganyika and of the Peoples' Republic of Zanzibar are desirous that the two Republics shall be united in one Sovereign Republic in accordance with the Articles hereinafter contained:-It is therefore AGREED between the Governments of the Republic of Tanganyika and of the Peoples' Republic of Zanzibar as follows:

-(i) The Republic of Tanganyika and the Peoples' Republic of Zanzibar shall be united in one Sovereign Republic .
(ii) During the period from the commencement of the union until the Constituent Assembly provided for in Article (vii) shall have met and adopted a Constitution for the united Republic (hereinafter referred to as the interim period) the united Republic (iii) to (vi). shall be governed in accordance with the provisions of Articles

(iii) During the interim period the Constitution of the united Republic shall be the Constitution of Tanganyika so modified as to provide for-(a) a separate legislature and executive in and for Zanzibar from time to time constituted in accordance with the existing law of Zanzibar and having exclusive authority within Zanzibar for matters other than those reserved to the Parliament and Executive of the united Republic;(b) the offices of two Vice-Presidents one of whom (being. a person normally resident in Zanzibar) shall be the head of the aforesaid executive in and for Zanzibar and shall be the principal assistant of the President of the United Republic in the discharge of his executive functions in relation to Zanzibar;(c) the representation of Zanzibar in the Parliament of the United Republic ;(d) such other matters as may be expedient or desirable to give effect to the united Republic and to these Articles.

(iv) There shall reserved to the Parliament and Executive of the united Republic the following matters-(a) The Constitution and Government of the united Republic.(b) External Affairs.(c) Defence.(d) Police.(e) Emergency Powers.(f) Citizenship.(g) Immigration.(h) External Trade and Borrowing.(i) The Public Service of the united Republic.(j) Income Tax, Corporation Tax, Customs and Excise.(k) Harbours, Civil Aviation, Posts and Telegraphs.And the said Parliament and Executive shall have exclusive authority in such matters throughout and for the purposes of the united Republic and in addition exclusive authority in respect of all other matters in and for Tanganyika .

(v) The existing laws of Tanganyika and of Zanzibar shall remain in force in their respective territories subject-(a) to any provision made hereafter by a competent legislature;(b) to such provision as may be made by order of the President of the united Republic for the extension to Zanzibar of any law relating to any of the matters set out in Article

(iv), and the revocation of any corresponding law of Zanzibar;(c) to such amendments as may be expedient or desirable to give effect to the union and to these Articles.

(v) (a) The first President of the united Republic shall be Mwalimu Julius K.Nyerere and he shall carry on the Government of the united Republic in accordance with the provisions of these Articles and with the assistance of the Vice-Presidents aforesaid and of such other ministers and officers as he may appoint from Tanganyika and Zanzibar and their respective public services.(b) The first Vice-President from Zanzibar to be appointed in accordance with the modifications provided for in Article (iii) shall be Sheikh Abeid Karume.

(vii) The President of the united Republic: in agreement with the Vice-President who is head of the Executive in Zanzibar shall-(a) Appoint a Commission to make proposals for a Constitution for theunited Republic.(b) Summon a Constituent Assembly composed of Representatives from Tanganyika and from Zanzibar in such numbers as they may determine to meet within one year of the commencement of the union for the purpose of considering the proposals of the Commission aforesaid and to adopt a Constitution for the united Republic.

(viii) These Articles shall be subject to the enactment of laws by the Parliament of Tanganyika and by the Revolutionary Council of the Peoples' Republic of Zanzibar in conjunction with the Cabinet of Ministers thereof, ratifying the same and providing for the Government of the united Republic and of Zanzibar in accordance therewith.

IN WITNESS WHERE Julius K. Nyerere, the President of the Republic of Tanganyika, and Abeid Karume the President of the Peoples' Republic of Zanzibar have signed these Articles, in duplicate, at Zanzibar, on this twenty-second day of April, 1964.

Passed in the National Assembly on the twenty-fifth day of April,1964
 
sasa inafichwa ili iweje kwa sasa tuna muungano wa ASP na TANU tu sio Tanganyika na Zanzibar na hawa maccm cjui yanishi dunia gani watamdanganya nani na ulimwengu huu wa .com
 
sasa inafichwa ili iweje kwa sasa tuna muungano wa ASP na TANU tu sio Tanganyika na Zanzibar na hawa maccm cjui yanishi dunia gani watamdanganya nani na ulimwengu huu wa .com
Wewe ulitaka imwagwe barabarani ili watu wafungie maandazi?
 
Wewe ulitaka imwagwe barabarani ili watu wafungie maandazi?


nikikuita m pu mbav nimekosea! rejea maneno ya mwanasheria wa Zanzibar alipo sema bungeni ile ni public document kila raia ana haki ya kuona ccm kweli janga mtaficha ukweli mpaka lini, you can fool some ppl some time but you cant fool all ppl all time, by bob marley
 
what is the logic behind kuificha hiyo hati?

Nielewesheni please
 
masiginecha mbona sijayaona? au mimacho mibovu
 
Hivi hii ishu ya kugushiwa kwa sahihi za hawa wazee wetu J.K.Nyerere na Sheikh Karume waasisi wa Muungano ni ya kweli au vipi jamani? I dont get it especially ktk jambo sensitive kama hili la kuunganisha "dola" na "nchi" mbili tofauti!!..

Hivi ndiyo maana labda hawa jamaa zetu hawataki kabisa watu wafikiri "nje ya box" juu ya muundo na mfumo wa Muungano huu tulio nao nini? Je, ni kwa sababu wanataka kuficha madudu na uovu kama huu nini? Kama haya kweli ni ya ukweli mtupu,basi hapa hakuna muungano bali ni changa la macho tu na ni lazima sasa ufilie mbali kila nchi ijiendeshee mambo yake kivyake!!

Haiwezekani jambo lililofanyika kwa nia njema likawa na mizengwe kiasi hiki kwa kila mara wananchi wa nchi mbili hizi zilizoungana TANGANYIKA na ZANZIBAR wanapotaka kufahamu ukweli wa haya makubaliano ya kuunganisha nchi zetu yalifikiwa fikiwaje na wazee wetu hawa wanakumbana na vikwazo na nguvu kubwa za kidola zinatumika kuwanyamazisha!!...ala kumbe nyuma yake kuna kughushiwa kwa saini tena!!??

Duu hawa jamaa CCM Zanzibar na huku kwetu Tanganyika ni balaa na noma kwelikweli sawa tu na mafisi wala mizoga!!

If that is the case;Ki ukweli kabisa kuna hila na upuuzi flani umejificha ndani ya hii kitu MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR, sasa muda mwafaka wa kuzitaka HATI HALISI za muungano haijalishi ziko wapi mahakamani au Ikulu ya Magogoni au kule kwa Sultan Shein!!
 
on point,safi kabisa,ubarikiwe sana.
Hivi hii ishu ya kugushiwa kwa sahihi za hawa wazee wetu J.K.Nyerere na Sheikh Karume waasisi wa Muungano ni ya kweli au vipi jamani? I dont get it especially ktk jambo sensitive kama hili la kuunganisha "dola" na "nchi" mbili tofauti!!..

Hivi ndiyo maana labda hawa jamaa zetu hawataki kabisa watu wafikiri "nje ya box" juu ya muundo na mfumo wa Muungano huu tulio nao nini? Je, ni kwa sababu wanataka kuficha madudu na uovu kama huu nini? Kama haya kweli ni ya ukweli mtupu,basi hapa hakuna muungano bali ni changa la macho tu na ni lazima sasa ufilie mbali kila nchi ijiendeshee mambo yake kivyake!!

Haiwezekani jambo lililofanyika kwa nia njema likawa na mizengwe kiasi hiki kwa kila mara wananchi wa nchi mbili hizi zilizoungana TANGANYIKA na ZANZIBAR wanapotaka kufahamu ukweli wa haya makubaliano ya kuunganisha nchi zetu yalifikiwa fikiwaje na wazee wetu hawa wanakumbana na vikwazo na nguvu kubwa za kidola zinatumika kuwanyamazisha!!...ala kumbe nyuma yake kuna kughushiwa kwa saini tena!!??

Duu hawa jamaa CCM Zanzibar na huku kwetu Tanganyika ni balaa na noma kwelikweli sawa tu na mafisi wala mizoga!!

If that is the case;Ki ukweli kabisa kuna hila na upuuzi flani umejificha ndani ya hii kitu MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR, sasa muda mwafaka wa kuzitaka HATI HALISI za muungano haijalishi ziko wapi mahakamani au Ikulu ya Magogoni au kule kwa Sultan Shein!!
 
Back
Top Bottom