Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Sata amefariki Jumanne hii baada ya kulazwa kwenye hospitali ya King Edward VII,nchini uingereza Alikuwa na umri wa miaka 77.
Nafasi ya Sata inaweza kushikwa kwa muda na waziri wa ulinzi Edgar Lungu, ambaye hivi karibuni alikuwa kaimu rais ama makamu wa rais Guy Scott, ambaye atakuwa rais wa kwanza mzungu tangu FW de Klerk wa Afrika Kusini mwaka 1994.
Nafasi ya Sata inaweza kushikwa kwa muda na waziri wa ulinzi Edgar Lungu, ambaye hivi karibuni alikuwa kaimu rais ama makamu wa rais Guy Scott, ambaye atakuwa rais wa kwanza mzungu tangu FW de Klerk wa Afrika Kusini mwaka 1994.