Kwa kweli pamoja mimi ni mshabiki wake namba moja, naona swala la urais kwa wanyonge halipo, umeeleza yote hapo juu muhimu, hasa kutokusaidia mzunguko wa pesa kuwa mzuri, benki kunyanyasa wafanyabiashara wadogo na kutokutoa mikopo, tena wakadiriki na kusema wanawakopesha serikali tu na taasisi zake!
Asiporekebisha hili, tutamuona ni muongo na mbabaishaji, na huu mtindo wake wa kugawa mamilioni in (cash), na kuwagawia wanakwaya itabidi aache, kwani anafanya hivyo kuturingishia kwamba sisi hatuna ile yeye ndiyo anazo au?!
Either hasikilizi washauri au hana washauri, kwa kweli tumechoka kabisa na hili swala...