Testar
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,461
- 12,216
Mkuu umejibu vema,....twende jukwaa la wakubwa,...Yaani lile jukwaa limepoa sana, kama ile theory ya disuse ingekuwa kweli basi lile jukwaa lingeshatoweka.Uhakiki hasa wa picha muhimu
lakini pia tuwe na uvumilivu
sioni why jina la 'mchepuko wa mkulu' kama ni that serious offense...
sanasana labda ni jina la kiutani tu....
Vipi una mikakati gani ya kuliamsha na lipate mvuto kiasi cha kulifanya kuwa break ya kwanza pindi wadau wanapo log jf?