Rais wa Uturuki Erdogan ailalamikia Israel!

Rais wa Uturuki Erdogan ailalamikia Israel!

Sema adui wa Uturuki wakiwatumia Wakurdi Uturuki hatatoboa. Kawatesa sana Wakurdi. Na kwenye ile nchi Waturuki ni wakuja tu.
 
Miafrika inaumia zaidi ikisikia miyahudi au miarabu imekufa kuliko wacongo au waafrika wenzao. Religion did a number on us.
Correction!
Hata Maduro angemvimbia US, ningejitwikwa kama mvenezuela la Nanjilinji
Na bado mpaka leo mimi ni mvietnamu wa Buza
Mtalebani wa Mwembekiuno
Msomali wa Kimbiji
Na mkyuba wa Mwakaleli
 
Back
Top Bottom