Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Bora umemtolea maelezo ya kueleweka,abaki na ubishi wake tuu. Na juzi tuu hapa Netanyahu na Ugiriki wameonya juu ya mpango wa Uturuki kupeleka Jeshi Libya.Mkuu kwa libya wapo pamoja maana wanafaidika na wizi wa mafuta na gesi.
japo russia anakataa kuwa yupo huko kama srekali, ila kuna wanjeshi wa kokodishwa wengi kutoka russia wanapigana upande wa general.
Sent using Jamii Forums mobile app