Kizinga mpemba
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 218
- 194
Rais wa Tanzania 2020 piga ua awe na sifa moja kubwa kusimamia katiba maana miimili yote imeipa mgogo. Ms ajili, Serekali, Polisi, bunge, mahakama na mtu mpaka Sasa anayefiti Tundu Lissu, ndiye mtetezi mkuu wa katiba na Kwa Nini tusimpigie kampeni Sasa, awe Rais 2020. Hata Kwa miaka mitano kwanza. Viva lisu, Viva lisu