Galoni sawa na lita ngapi?
Duh yaani bei ya mafuta ni haizidi shilingi 800/L nchi haikaliki, je ingekuwa ka huku kwetu ingekuwaje? Kwa kweli huku kwetu bado tunalala!1 Gallon = 3.85 Liters
Duh yaani bei ya mafuta ni haizidi shilingi 800/L nchi haikaliki, je ingekuwa ka huku kwetu ingekuwaje? Kwa kweli huku kwetu bado tunalala!
1 Gallon = 3.85 Liters
Halafu kuna mtu anasema nguvu ya umma haina maana!
Acha kudanganya kama na ww hujui omba msaada
1 gallon = 4.546 litres
Tatizo la kusoma "Arts" kuanzia darasa la kwanza!
==============================
1 liter = 0.26417205 US gallons
1 liter = 0.21996919 UK (Imperial) gallons
==============================
Me namuomba Mungu aje aichukue nchi yake ya Tanganyika,aifinyange upya sisi aliotuweka humu hatuna maana kabisa,yaani tunamsononesha Mungu vibaya sana,tunalia na maisha magumu kila siku wakati ametupa utajiri kibao ndani ya nchi,kwa kweli aje tu atunyang'anye Nchi yake.