Tatizo lenu mmesahau kuwa Kabila si mkongoman halisi na wakongo wanampenda usoni tu lakini moyoni hawako na kabila, hata hao wanajeshi wanajua, wanajeshi hawanaga rafiki wakudumu, hivyo watu wasitegemee ati vile walikuwa mtiifu kwa kabila basi ndio hawawez kumbadilikia na kumpa kisogo, anything can happen.wacongoman wanaojua historia ya viongozi wao hawawezi kumshobokea kabila, wanaomshobokea ni kwasababu za maslahi yao binafsi na so vinginevyo.kurudi kwa moise katumbi kumemuongezea point nyingi president, vile wafuasi wa katumbi wanampa big up president, hii itamfanya kupata utulivu wa moyo Mr President.