Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,203
- 162,772
Iwapo rais wa awamu ya 5 atatoka CCM,nitaukana uraia wa nchi hii na kuhamia Somali ambapo hakuna serikali.
Ukiishi katika nchi ambayo unajua hakuna serikali ya kueleweka,basi hata yakitokea yasiyotarajiwa waweza jifariji ni kwasababu hatuna serikali.
Ukweli ni kuwa,inauma sana kuishi katika nchi ambayo serikali siku zote iko likizo!A failed state.
Mfano,waliokwapua hele za Escrow kupitia Stanbic bank eti serikali imeshindwa kuwabaini?
Tuna serikali alafu twiga wanapindishwa ndege na kusafirishwa nje ya nchi tena mchana kweupe!!
Mpokea rushwa anashitakiwa;mtoa rushwa uchunguzi unaendelea!
Miaka mingine mitano chini ya CCM ni bora kuhama nchi.
Ukiishi katika nchi ambayo unajua hakuna serikali ya kueleweka,basi hata yakitokea yasiyotarajiwa waweza jifariji ni kwasababu hatuna serikali.
Ukweli ni kuwa,inauma sana kuishi katika nchi ambayo serikali siku zote iko likizo!A failed state.
Mfano,waliokwapua hele za Escrow kupitia Stanbic bank eti serikali imeshindwa kuwabaini?
Tuna serikali alafu twiga wanapindishwa ndege na kusafirishwa nje ya nchi tena mchana kweupe!!
Mpokea rushwa anashitakiwa;mtoa rushwa uchunguzi unaendelea!
Miaka mingine mitano chini ya CCM ni bora kuhama nchi.