Rais wa Marekani bwana Donald Trump amezidi kuwa kituko duniani pale aliposikika akiwalaumu watoaji wa tuzo ya Nobel kwa kumpatia tuzo hiyo Waziri Mkuu wa Ethiopia na kumuacha yeye ambaye amefanya kazi kubwa kuleta amani huko Ethiopia na kwingineko.
KISIWAGA,
Trump hana tofauti na King Julian wa madagascar escape yani full Umimi..
If I King Julian I was to make my last dying wish, I would invade a foreign nation and impose my ideology
KISIWAGA,
Trump hana tofauti na King Julian wa madagascar escape yani full Umimi..
If I King Julian I was to make my last dying wish, I would invade a foreign nation and impose my ideology
Rais wa Marekani bwana Donald Trump amezidi kuwa kituko duniani pale aliposikika akiwalaumu watoaji wa tuzo ya Nobel kwa kumpatia tuzo hiyo Waziri Mkuu wa Ethiopia na kumuacha yeye ambaye amefanya kazi kubwa kuleta amani huko Ethiopia na kwingineko.
Kikwete alisema za kuambiwa changanya na zako.Trump ni mtu wa usela si kila kauli unaibeba kama ilivyo.Ilikuwa katika muktadha upi hadi akasema hayo aliyosema?mambo mengine ya kawaida sana lakin mtu unahakuuza.