Ndugu wa tanzania napenda kusema tusitumie nguvu nyingi kuogopa kauli za vitisho za viongoz wa Taifa hl. Mwisho unakuja na nilazima ithibitike Mungu atasimama kujibu kauli zao. Naiman sana Mungu yupo na atafanya! Amen
Ndugu wa tanzania napenda kusema tusitumie nguvu nyingi kuogopa kauli za vitisho za viongoz wa Taifa hl. Mwisho unakuja na nilazima ithibitike Mungu atasimama kujibu kauli zao. Naiman sana Mungu yupo na atafanya! Amen
Amina. wewe ndo umekuja a maneno yenye afya. nimesoma koments za wengi, zinakatisha tamaa. Rais sio Mungu. Ila nawaasa watanzania kuliombea Taifa katika kipindi hiki, maana kumwaga damu za wasio hatia ni roho ya kuzimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.