Rais Shein amwakilisha Rais Magufuli kwenye kongamano la kimataifa la Blue Economy linalofanyika Kenya

Huyo ndy kiongozi ambaye anataka kusifiwa tu kwa kila jambo na anashindwa kujumuika na wenzake ktk kujadili maswala ya biashara ,kweli tulichagua kichwa cha mwendawazimu na siyo raisi wa nchi,
Hivi wanajeshi mnashindwa nini kumwondoa huyu mtu mapema mpaka anajilinda mwenyewe sijui na jeshi kutoka visiwa gani na ninyi mpo tu ?
wanajeshi mnapewa mpaka kazi ya kubagua korosho na kukagua maduka ya Forex lkn mpo tu?
Mkuu stone ni tatizo, alafu jana niliweka uzi humu kuwa stone asipojumuika na wenzake, ataishia kucheza na mikopo tu, jamaa kafeli kila kona sababu ya kujificha na luga ndio tatizo
 
The Blue economy
22 Dec 2016
Did you know that fish is the most traded agricultural commodity in the world? But what you probably don’t know is that out of every four fish on the global market, one is stolen. This is according to World Bank data that reveals that impact of illegal fishing activities is not only robbing coastal countries of income, but also threatening marine life. The official figure is that Kenya loses 10 billion shillings annually due to illegal, unregulated and unreported finishing in its territorial waters, but as Zeynab Wandati reports, the losses are much higher. This is The Blue Economy.

Source : NTV Kenya
 
November 26, 2018
Nairobi, Kenya

Global Sustainable Conference on Blue Economy in Nairobi, Kenya

Opening speech by H.E President Uhuru Kenyatta of Republic of Kenya
 
Rais wa Zanzibar Dr Shein yuko mubashara Citizen tv akimuwakilisha Rais wa JMT Dr Magufuli katika kongamano la Uchumi na biashara za majini( baharini, ziwani na kwenye mito).

Marais kadhaa wamehudhuria wakiwemo mwenyeji Rais Kenyatta wa Kenya na Rais Museveni wa Uganda. Kongamano hili linafanyika nchini Kenya!
Kenya si wanazungumza kiswahili vizuri inakuwaje amehepahepa? Au wanazungumza kiingereza kwenye hilo kongamano?
 
26 November 2018
Nairobi, Kenya

President Yoweri Kaguta Museveni : on Blue economy, western countries are 'greedy'
 
26 Nov 2018
Nairobi, Kenya
Ujumbe wa Rais wa Zanzibar Dr. Shein ktk Kongamano la kiuchumi na biashara za majini

Kongamano kuhusu uchumi na biashara za majini limeng'oa nanga leo jijini Nairobi. Washiriki zaidi ya 4000 wakiwemo marais wa mataifa kadhaa wamejumuika katika ukumbi wa KICC.
 
Kenya si wanazungumza kiswahili vizuri inakuwaje amehepahepa? Au wanazungumza kiingereza kwenye hilo kongamano?
Kuna wengine lakini baadhi hasa Uganda hawajui kiswahili sawasawa, na huyu jamaa yetu tatizo ni Lugha ya malikia lazima asepe kwenye vikao vya aina hii
 
Kongamano hili maarufu kama "SUSTAINABLE BLUE ECONOMY CONFERENCE" ambalo linahusu uchumi wa majini linafanyika nchini Kenya na kuhudhuriwa na wakuu wa nchi na wawakilishi wa mataifa mbalimbali ya Afrika na dunia kama, Japan na Canada.

Raisi wa Tanzani Dkt Magufuli amewakilishwa na Rais wa Zanzibar Dkt Shein, kutokana na "dharura".

ABOUT THE CONFERENCE:

The Sustainable Blue Economy Conference is the first global conference on the sustainable blue economy. Over 4,000 participants from around the world are coming together to learn how to build a blue economy that:

. Harnesses the potential of our oceans, seas, lakes and rivers to improve the lives of all, particularly people in developing states, women, youth and Indigenous peoples

. Leverages the latest innovations, scientific advances and best practices to build prosperity while conserving our waters for future generations
Kimsingi tumechelewa sana kuadopt BlueEconomy kwenye sera zetu, lakini bado tunayouwezo wa kuitajirisha Africa kutokana na sera Uchumi huu wa Bluu. Kwanza nipende kuanza kusema uchumi huu unalenga vijana na wanawake kutumia ubunifu tuliopewa bure na Mungu na kutengeneza bidhaa au viumbe vingine bila kuathiri mazingira tunamoishi!
 
Back
Top Bottom