PostGE2025 Rais Samia: Vijana hakuwa na sababu ya kuingia barabarani. Vijana wetu sio wazalendo

PostGE2025 Rais Samia: Vijana hakuwa na sababu ya kuingia barabarani. Vijana wetu sio wazalendo

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vijana waliokuwa mstari wa mbele katika maandamano hawakuwa na sababu ya kuingia barabarani, akibainisha kuwa kitendo hicho hakioneshi uzalendo.

Rais Samia alitoa kauli hiyo wakati akizungumza katika mkutano maalum ulioandaliwa na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam, tarehe 02 Desemba, 2025.
 
Si alituambia wametoka Nchi jirani?. Kweli damu ya mtu haiendi bure.
 
Dah sasa tume itafanya kazi gani aise huyu mgombea mbona ana majibu yoote
 
Back
Top Bottom