johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Rais Samia amewataka UVCCM kuachana na tabia ya kukubali kutumika kama ngazi ya kuwapandisha wanasiasa wazoefu kupata vyeo.
Pili, Rais Samia amewataka UVCCM kutotumika kukipasua chama bali wakiimarishe.
Source: ITV
Pili, Rais Samia amewataka UVCCM kutotumika kukipasua chama bali wakiimarishe.
Source: ITV