MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Wenye Akili tunajua kuwa hujui Mpira na hata tu Hobbie ya Mpira huna ila Unashinikizwa na Mstaafu Mmoja mwana Yanga SC huku akikudanganya kuwa ukiipenda na Kujipendekeza kwa Yanga SC basi hata 2025 Kura zako zote Watakupigia wao.
Ratiba ya Ligi inasema kuwa Yanga SC Kesho Saa 10 Kamili Jioni wanacheza na Mbeya City FC Uwanja wa Karume na Wewe tena kama kawaida yako na kutaka Sifa leo Jumatatu umewaalika Chakula cha Jioni Ikulu utadhani hiko Chakula kitokanacho na Kodi ya Watanzania ni Kizuri sana na Makwao hawawezi Kupikiwa na Wake zao.
Na najua Bodi ya Ligi Kuu na TFF kwa Uwoga, Unafiki na Kujipendekeza Kwako Ratiba ya Ligi Kuu ( hasa kwa Mechi za Yanga SC tu na ile ya Fainali ya ASFC iliyopangwa Kuchezwa tarehe 12 June, 2023 ) itabadilishwa ili Kuidekeza na Kuipendelea Yanga CCM Samia Serikali Sports Club kama Watakavyo.
Ratiba ya Ligi inasema kuwa Yanga SC Kesho Saa 10 Kamili Jioni wanacheza na Mbeya City FC Uwanja wa Karume na Wewe tena kama kawaida yako na kutaka Sifa leo Jumatatu umewaalika Chakula cha Jioni Ikulu utadhani hiko Chakula kitokanacho na Kodi ya Watanzania ni Kizuri sana na Makwao hawawezi Kupikiwa na Wake zao.
Na najua Bodi ya Ligi Kuu na TFF kwa Uwoga, Unafiki na Kujipendekeza Kwako Ratiba ya Ligi Kuu ( hasa kwa Mechi za Yanga SC tu na ile ya Fainali ya ASFC iliyopangwa Kuchezwa tarehe 12 June, 2023 ) itabadilishwa ili Kuidekeza na Kuipendelea Yanga CCM Samia Serikali Sports Club kama Watakavyo.