Rais Samia: Ulaya na Marekani hawafanyi vizuri kiuchumi kama sisi

Rais Samia: Ulaya na Marekani hawafanyi vizuri kiuchumi kama sisi

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
980
Reaction score
3,646
Rais Samia, amesema kwamba licha ya hali tete inayoikumba dunia kwa sasa, Tanzania inafanya vizuri kwa viwango vya kuvutia kiuchumi. Akiwahutubia wananchi wa Simiyu katika ziara yake ya kikazi, Rais Samia alieleza kwa msisitizo hali halisi ya ulimwengu na nafasi ya Tanzania ndani yake:

'Ukitegemea msaada wale wanaotoa msaada dunia yote sasa ipo juu chini. Mavita, maugomvi, mavurugu, chumi zimeshuka, huko hawafanyi vizuri kama tunavyofanya sisi.''

Katika kauli hiyo, Rais Samia aliweka bayana kuwa hata mataifa makubwa yanayojulikana kwa nguvu zao za kiuchumi hayako tena katika nafasi ya kuigwa kwa sasa

''Ulaya na Marekani sasa hivi hawafanyi vizuri kiuchumi kama tunavyofanya sisi huku, hata ndani ya kanda yetu hii ya Afrika Mashariki, Tanzania tunafanya vizuri.”

 
Naona Aibu mimi kuongozwa na muhudumu wa ndege.

Mlevi alipelekwa mahakamani kwa kosa la kutukana ovyo
Hakimu : "wewe mbona mara kwa mara unaletwa hapa"
Mlevi : "Mbona na wewe kila siku nakukuta hapa na sikwambii kitu"
 
Ukitegemea msaada wale wanaotoa msaada dunia yote sasa ipo juu chini. Mavita, maugomvi, mavurugu, chumi zimeshuka, huko hawafanyi vizuri kama tunavyofanya sisi.

Ulaya na Marekani sasa hivi hawafanyi vizuri kiuchumi kama tunavyofanya sisi huku, hata ndani ya kanda yetu hii ya Afrika Mashariki, Tanzania tunafanya vizuri” Rais Samia akizungumza na wananchi wa Simiyu akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.
Ngoja ninyamaze, dunia simama nitelemke! Tumepatikana ......................
 
Ukitegemea msaada wale wanaotoa msaada dunia yote sasa ipo juu chini. Mavita, maugomvi, mavurugu, chumi zimeshuka, huko hawafanyi vizuri kama tunavyofanya sisi.

Ulaya na Marekani sasa hivi hawafanyi vizuri kiuchumi kama tunavyofanya sisi huku, hata ndani ya kanda yetu hii ya Afrika Mashariki, Tanzania tunafanya vizuri” Rais Samia akizungumza na wananchi wa Simiyu akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.
Haya mambo sometimes bora asiyaongee inachafua image yake in publick
 
Ukitegemea msaada wale wanaotoa msaada dunia yote sasa ipo juu chini. Mavita, maugomvi, mavurugu, chumi zimeshuka, huko hawafanyi vizuri kama tunavyofanya sisi.

Ulaya na Marekani sasa hivi hawafanyi vizuri kiuchumi kama tunavyofanya sisi huku, hata ndani ya kanda yetu hii ya Afrika Mashariki, Tanzania tunafanya vizuri” Rais Samia akizungumza na wananchi wa Simiyu akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.
Hivi kawachukuliaje wananchi wa Simiyu😅
 
Ukitegemea msaada wale wanaotoa msaada dunia yote sasa ipo juu chini. Mavita, maugomvi, mavurugu, chumi zimeshuka, huko hawafanyi vizuri kama tunavyofanya sisi.

Ulaya na Marekani sasa hivi hawafanyi vizuri kiuchumi kama tunavyofanya sisi huku, hata ndani ya kanda yetu hii ya Afrika Mashariki, Tanzania tunafanya vizuri” Rais Samia akizungumza na wananchi wa Simiyu akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.
Da na yale mataputapu yakaunga mkono na yakasema!! Mitano tena.
 
Ni aibu kuona akina Mkumbo (professa) na Nchemba (PhD) wana support hii kitu hadharani.

Ndio ujue ccm hata ukiwa na akili ukiingia huko akili unaziacha mlangoni

1000062442.jpg
 
Back
Top Bottom