Rais Samia: Tusimbeze Prof Janabi kuhusu Afya

Rais Samia: Tusimbeze Prof Janabi kuhusu Afya

siku mtu ukiugua ukaenda JKCI , ndio utamkumbuka.

asubuhi: supu na chapati na pepsi
mchana: ugali samaki
usiku: wali nyama

kiujumla hzi ni almost calories 6000, kwa kazi white collar ya kukaa ofisini siku nzima, hii ni hatari
 
Rais Samia amesema ni Jukumu la kila mtu Kuzingatia Swala la afya ili kujiepusha na magonjwa ya kuambukiza kama anavyoshauri Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Prof Mohamed Janabi.

Huyu janabi ni mwanasiasa tu hapo ana kitu anakitafuta.watu tumekulia viporo na hatupata madhara yoyote ila kwa sasa tuzingatie ulaji.
 
Ila mama anaongoza kama malkia...
Kumbukeni yule wa Ulaya alipoambiwa wananchi wana njaa. Jibu toka kwa malkia...(..kama hawana mkate wala chakula WAPENI KEKI)?!
Bongo tutaisoma namba walahi....
 
Mama asione hii, kwamba chanjo ya corona imefanyaje vile 😂😂
View attachment 2923639

clot.png

Hili ni funika kombe, hakuna anayeliongelea ila waliochanja wana utando wa platiki unamea ndani ya mishipa yao. Huyu mama aliwatoa Watanzania kafara, halafu madaktari kama Prof Janabi hawaliongelei hili.
 
Back
Top Bottom